Kiwango cha juu cha mkopo ni shilingi 1,000,000 na inatozwa riba asilimia 2% kwa mwezi.
Kiwango cha juu cha mkopo huu ni mara tatu (3) ya Akiba na mwanachama hutozwa riba ya 0.83%.
Kiwango cha juu cha mkopo huu ni mara tatu (3) ya Akiba na kutoza riba ya 0.83%.
Historia
Chama kilichoanzishwa kwa madhumuni ya kustawisha na kuboresha hali za Maisha ya wanachama wake.
Ushirika huu ulianzishwa mwaka 2022 ikiwa na wanachama 88 na kusajiliwa rasmi tarehe 30 Mei,2023.
Kutunza na kuongeza mtaji kupitia njia za uwekezaji
Kuwa taasisi kubwa ya kifedha Tanzania, inayotoa huduma bora kwa wanachama wake.
DART SACCOS inawahudumia watumishi wote wa Wakala wa Mabasi yaendayo haraka (DART), muajiriwa yoyote kutoka sekta ya utumishi wa umma, mtu yoyote kutoka familia ya mtumishi wa DART ambao ni wenza na watoto pamoja na mmiliki au kampuni ya biashara ya usafirishaji
DART SACCOS ni chama imara kilichosajiliwa kwa mujibu wa Sheria ya vyama vya ushirika, Sheria Namba 6 ya mwaka 2013, chenye malengo mapana ya kutoa huduma bora ya kifedha yenye lengo la kuwainua wanachama wake kiuchumi na kijamii kwa mujibu wa Sheria, kanuni na za vyama vya ushirika.
DART SACCOS hutoa huduma bora kwa wakati kama: Kuuza hisa kwa wanachama, Kutoa mikopo ya dharura, Kutoa Mkopo hakuna makasiriko, Mkopo wa sikukuu Kutoa mikopo ya kulipia ada kwa wanachama, mtoto au tegemezi yeyote anayemuhusu mwanachama, Mikopo ya Maendeleo, Mikopo ya viwanja, Kulipa riba akiba za wanachama.
Shuhuda
Nimenufaika na mikopo ambayo nimekua nikipata DART SACCOS kwa ajili ya kujiendeleza kwenye miraadi, kusambaza mikate katika maduka ya jumla na pia nimeweza kujenga nyumba yangu yakuishi maeneo ya kitunda.
Nimenufaika na mikopo ambayo nimekua nikipata DART SACCOS kwa ajili ya kujiendeleza kwenye miraadi, kusambaza mikate katika maduka ya jumla na pia nimeweza kujenga nyumba yangu yakuishi maeneo ya kitunda.
Nimenufaika na mikopo ambayo nimekua nikipata DART SACCOS kwa ajili ya kujiendeleza kwenye miraadi, kusambaza mikate katika maduka ya jumla na pia nimeweza kujenga nyumba yangu yakuishi maeneo ya kitunda.
Msaada masaa 24
Jumatatu - Ijumaa: Saa 2:30 Asubuhi - 10:00 Jioni
Jumamosi : Saa 2:30 Asubuhi - 10:00 Jioni
Jumapili : Saa 2:30 Asubuhi - 10:00 Jioni
Taarifa & Matangazo
POSITION - MANAGER (1 POST)
Soma zaidi